Ametoa agizo hilo kwenye hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na madhehebu ya Shia nchini mwishoni mwa wiki. Limekuja siku moja tu baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda naye kupiga marufuku uvutaji wa kilevi hicho pamoja na vitendo vya ushoga na uvutaji sigara hadharani.
Mheshimiwa Majaliwa alidai kuwa Shisha ni kilevi ambacho huchanganywa na vitu vingine vikiwemo viroba na pombe zingine.
0 comments:
Post a Comment