Gabriel Barbosa akibebwa na Neymar wakati wakishangilia bao.
Luan akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu.
Neymar akimpongeza mfungaji wa bao la pili la Brazil, Gabriel Jesus.
Neymar na Gabriel Jesus wakichuana na beki wa Denmark, Andres Maxs
Neymar akijitosa kuruka kichwa.
Gabriel Jesus akishangilia bao la pili kwa Brazil.
Mashabiki wa Brazil wakishangilia.
Rio, Brazil
TIMU ya Taifa ya Brazil imefanikiwa kutinga Robo fainali ya michuano ya Olympic inayoendelea kufanyika mjini Rio nchini humo baada ya kuichapa Timu ya Taifa ya Denmark mabao 4-0 jana Jumatano.
Baada ya kutoa droo za bila mabao kwenye mechi zake mbili zilizotanguilia za Kundi A, Brazil ilihitaji kushinda mechi moja tu ili kujihakikishia kuingia hatua ya nane bora jambo ambalo Gabriel Barbosa, Gabriel Jesus na Luan walilifanya kwa kuifungia timu yao hiyo.
MATCH FACTS AND STATS
Denmark: Hojbjerg, Desler (Larsen 64), Gomes, Gregor, Mathiasen, Borsting, Maxso, Jonsson, Bruun Larsen, Vibe, Brock-Madsen (Skov 45)
Subs not used: Fernandes, Rasmussen, Laursen, Emil Larsen, Nielsen
Brazil: Weverton, Zeca, Marquinhos (Luan 84), Rodrigo Caio, Douglas Santos, Walace, Renato Augusto (Rodrigo Dourado 79), Gabriel, de Jesus Luan, Neymar, Gabriel Jesus
Subs not used: Uilson, Rafinha, William, Felipe Anderson.
Referee: Alireza Faghani
0 comments:
Post a Comment