Thursday, August 11, 2016

Na Mwandishi Wetu:- Blogu ya Wananchi leo tunatihibitisha kurudiana rasmi kwa Super Star Diamond na Wema Sepetu, kwamba wamekuwa pamoja tena kwa muda wa Wiki Tatu sasa. Inasadikiwa kwamba hata safari ya juzi Wema alipoenda South Africa aliondokea Madale nyumbani kwa Mwanamuziki huyo Maarufu sana nchini. Diamond amekuwa akimpigia simu mara nyingi kila mahali Wema anapokuwa ili kuhakikisha hayupo na Mwanaume mwingine. Wema Sepetu alirejea nyumbani jana kutoka South Africa ambako alikuwa amefuatana na shoga yake namba moja Muna Love.

0 comments:

Post a Comment