Nyomi lililotokea na shangwe walizopigiwa washikaji hao vimemfanya Bosi wao (Diamond Platnumz) kushindwa kuzificha hisia zake kwa kuwashukuru mashabiki kiasi cha kuporomosha mtusi kama unavyoweza kuona kwenye hii post yake hapa chini.
Unafikiri kitendo cha mwanamuziki huyu kutumia maneno kama haya kwenye post zake ni sawa?
Unaweza Kutuachia maoni yako kwenye uwanja wa Comment..
0 comments:
Post a Comment