Posted by Williammalecela.com on Tuesday, November 01, 2016
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bungeni
ambapo kimeanza kikao cha kwanza cha mkutano wa tano wa Bunge la 11,
mjini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment