Posted by Williammalecela.com on Tuesday, November 01, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kwanza wa Bunge la Umoja wa Afrika na Katibu Mkuu wa Mkutano wa Nne wa Beijing, Getrude Mongella, Ofisini kwake, bungeni mjini Dodoma Novemba 1, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment