Na Sosy
HAKIKA mwenye kustahili kupewa sifa mpe sifa zake.Ziara za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama Paul Makonda zimeibua hiusia za wengi hata hivyo imekubalika na viongozi wa vyama pinzani ambao mara nyingi hupinga juhudi za mtumishi wa serikali wakichukulia kama sehemu ya upinzani.
Imekuwa tofauti kwa meya wa Manspaa ya Ilala Charles Kuyeko na Mbunge wa Ukunga Mwita Waitara ambao wameeingua mkoano ziara hiyo kwa asilimia nyingi.
Awali Ziara ya RC Makonda imeenza katika Manspaa ya Ilala katika Ukumbi wa manspaa hiyo maarufu kama Anatoglo watumishi wote wa Manspaa hiyo walimlaki.
Maspaa ya ilala ni miongoni mwa Manspaa zenye madiwani wa upinzani wengi lakini wote walifika ukumbini wakiwa na Meya wa huyo na Mbunge huyo wa Ukunga na kuungana na Makonda katika ziara hiyo.
ziara ya Makonda ilianza katika Soko la samaki la feri ambapo alikwenda kusikiliza kero za wafanyabiashara pamoja na wavuvi katika soko hilo ambapo aligungua kero kubwa kuwa ni wafanyabiashara wanaofanya biashara kando ya barabara kabla kufika katika soko hilo ambao huwafanya wateja kutofika kaatika soko hilo kutokana na kununua bidhaa wanazotaka nje ya soko hali ambayo inafanya biashara kukwama katika soko hilo.RC makonda alipiga marufukun biashara hizo.
RC Makonda kupitia usafiri wa treni alifika hadi pugu stationi ambapo alikwenda kukagua mradi wa madasara ambapo aligundua kuwa mradi huo ulihujumiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ujenzi wakiwemo madiwani wa kata ya Mzinga Job Isaack.
makonda alitumia usafiri huo akiambatana na Waitara, Kuyeko pamoja na wabunge wengine ambapo walifika hadi uwanja wa mkotano wa Pugu Kajiungeni ambapo alikwenda kusikiliza kero za wananchi.
kero kubwa za wananchi wa Ilala na kwenye viunga vya pugu, chanika, gongo la mboto ni maji ambapo hadi leo maji ni tatizo RC makonda alimsimamisha Mkuu wa idara ya maji kueleza kama anatambua tatizo hilo ambaye alisema analitambua na atawajibika katika hilo.
makonda alitumia usafiri huo akiambatana na Waitara, Kuyeko pamoja na wabunge wengine ambapo walifika hadi uwanja wa mkotano wa Pugu Kajiungeni ambapo alikwenda kusikiliza kero za wananchi.
kero kubwa za wananchi wa Ilala na kwenye viunga vya pugu, chanika, gongo la mboto ni maji ambapo hadi leo maji ni tatizo RC makonda alimsimamisha Mkuu wa idara ya maji kueleza kama anatambua tatizo hilo ambaye alisema analitambua na atawajibika katika hilo.
0 comments:
Post a Comment