Mshindi
wa tuzo ya Nobel Prize katika fani ya fasihi Professa Wole Soyinka
ameirarulia mbali hati yake ya "Green card" ambayo humpa kibali cha
kuishi nchini Marekani mtu yoyote asiye wa nchi hiyo.
Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa tayari Soyinka amesharejea kwao Nigeria. Hatua hiyo imekuja baada Donald Trump, Rais mteule wa Marekani kushinda uchaguzi mwezi jana, Professa Soyinka aliahidi kuwa kama Trump atashinda uchaguzi basi angeirarua "green card" yake na kurejea Nigeria.
Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa tayari Soyinka amesharejea kwao Nigeria. Hatua hiyo imekuja baada Donald Trump, Rais mteule wa Marekani kushinda uchaguzi mwezi jana, Professa Soyinka aliahidi kuwa kama Trump atashinda uchaguzi basi angeirarua "green card" yake na kurejea Nigeria.

0 comments:
Post a Comment