Sunday, December 4, 2016

Apokea Ndege YA Kwanza kufanya Safari Mbeya 
- Asema ujio wa ATC mkoani Mbeya utapunguza kero YA abiria kukwama uwanja wa Ndege mara kwa mara 
- Awaomba wananchi kutumia shirika hilo kwa Safari za uhakika na kufanya hivyo ni kuunga Mkono jitihada za Rais Dr John Magufuli za kufufua shirika la Ndege Tanzania 
- ATC itafanya Safari za Dar - Mbeya- Dar kila siku YA JUMATATU ,JUMATANO,IJUMAA ,JUMAMOSI NA JUMAPILI
Siku TANO kwa WIKI Dar - Mbeya saa 6;30 mchana na MBEYA - Dar saa 8:30 mchana

0 comments:

Post a Comment