Posted by Williammalecela.com on Sunday, January 29, 2017
MREMBO
asiyeishiwa matukio kila kukicha Bongo, Wema Isaac Sepetu na msanii wa
Bongo Fleva anayewika kwa wimbo wake Aje, Ali Kiba, mwisho wa wiki hii
wamenagukia pua katika mitandao ya kijamii na Diamond Platnumz
ameendelea kuwaonyesha kuwa yeye ana nguvu kuwazidi wao mtandaoni.
0 comments:
Post a Comment