Ashangaa mtuhumiwa kuendelea kutamba mtaani
Ahoji mwajiri kumtumikisha mtumishi miaka 9 bila likizo na bila mafao yeyote au michango hifadhi YA jamii

MKUU wa Mkoa wa Mbeya ameliagiza jeshi la polisi kuanza upya uchunguzi na kumfikisha mahakamani mtuhumiwa aliyemumwagia TINDIKALI Bi Fidea Lucas na kumsabishia ulemavu wa Jicho
Pia amewaagiza CMA kupokea malalamiko YA Fidea Lucas kufanya kazi miaka tisa bila likizo wala mafao yeyote

Hi Fidea Lucas amewasilisha malalamiko yake mbele YA Mkuu wa Mkoa wakati wa kusikiliza kero za wananchi katika Bujumbura wa a Mkapa utaratibu ambao Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameuweka tangu ateuliwe

Kutokana na mahitaji YA matibabu Mkuu wa Mkoa amemchangia Bi Fidea shilingi milioni moja ili zimsaidie matibabu



0 comments:
Post a Comment