Wednesday, January 4, 2017

Image may contain: 3 people, people standing and indoorMkuu wa Mkoa wa Mbeya ameipongeza halmashauri YA chunya kwa kuwa YA kwanza kimkoa kwa ukusanyaji mapato na kutoa mikopo kwa Vijana na wanawake
Hayo ameyasema Leo wakati wa kikao cha kujadili TAARIFA YA mkaguzi Mkuu na mdhibiti wa hesabu za serikali wilayani ChunyaImage may contain: 3 people, people standing and indoor
Pamoja na pongezi hizo ameutaka uongozi wa halmashauri YA Chunya kugawa na kutangaza hadharani vikundi vitakavyopata mikopo hiyoImage may contain: 2 people, indoor
Amesema kutoa mikopo hiyo kimyakimya inazusha minongono hivyo ni vema mikopo hiyo itoke we hadharani ili wananchi wajue jitihada zinazofanywa na serikali yaoImage may contain: 5 people, people standing, suit and outdoor
Amewataka maafisa wahusika kutoa Elimu kwa vikundi na zaidi wananchi kuelewa kuwa mikopo hiyo siyo bure inarejeshwa ili na wengine waweze kupataImage may contain: 10 people, people standingImage may contain: 5 people, people smiling

0 comments:

Post a Comment