Monday, January 16, 2017

BAADA ya misukosuko ya kupanda na kushuka kwa matukio mengi, tayari mchakamchaka wa 2017 umeanza, katika burudani ya kizazi kipya mwishoni mwa mwaka uliopita msanii Darassa ndiye alikuwa habari ya mjini.
Miezi 12 iliyopita tulishuhudia matukio mengi ya kujiongezea umaarufu ‘kiki’ ya aina tofauti huku yale ya watu maarufu hasa wasanii kuandikwa na kuzungumzwa kwa wingi kutokana na maisha yao ya kimapenzi nayo yalipata nafasi kubwa.

0 comments:

Post a Comment