Sunday, January 15, 2017

Wakati mzazi mwenza wa mkali wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa bize na malezi ya mtoto wao wa pili, Nillan Nasibu ‘Chibu Junior’, habari zilizovuja kutoka kwenye studio za mkali huyo wa Ngoma ya Salome, WCB zilizopo Sinza- Mori, ni kwamba warembo wamekuwa wakipanga foleni nje ya studio hizo kumsubiri Diamond mpaka usiku wa manane.

0 comments:

Post a Comment