Posted by Williammalecela.com on Friday, February 03, 2017
MTANGAZAJI wa Clouds TV Babu wa Kitaa atii amri ya Mkuu wa mkoa wa
Dar es Salaam, Paul Makonda ya kufika kituo cha kati cha polisi Central, hii ni matokeo ya operation kubwa iliyofanywa juzi na Mkuu huyo wa Mkoa kuhusiana na watuhumiwa wa utumiaji na uuzaji wa Madawa ya Kulevya hapa jijini.
0 comments:
Post a Comment