Kwingineko mchezaji nambari moja kwa ubora duniani,
Andy Murray pamoja na Nenad Zimonjic wamepoteza katika mchezo wa wachezaji
wawili kwa wanaume mara baada ya kukubali kichapo cha seti 6-1 7-6 (7-2) dhidi
ya Dan Evans na Gilles
Muller katika mzunguko wa kwanza.
Mara baada ya kupoteza katika mchezo huo, Andy
Murray sasa atashuka tena uwanjani kumkabili Malek Jaziri, kutoka Tunisia.
Hii ni mara ya sita kwa Murray kushiriki katika mashindano ya Dubai na hatua
kubwa aliyowahi kufika katika mashindano hayo ni kufika katika fainali za mwaka
2012, hata hivyo alipoteza mbele ya Roger Federer.

0 comments:
Post a Comment