Kupitia katika akanti yake ya twitter Pacquiao
ameorodhesha orodha ya majina ya mabondia anaotaka kuzichapa nao, huku
akiwataka wapenzi wake katika mchezo wa masumbwi wapige kura ili kumchagulia
bonda mmoja atakaepa nae ulingoni mwezi November.
Mabondia hao ni Amir Khan, Kell Brook, kutoka
Uingereza, Jeff Horn kutoka Australia na Terence
Crawford kutoka Marekani.
Pacquiao amesema pambano hilo litafanyika
katika falme za kiarabu.


0 comments:
Post a Comment