Ni kuhusiana na tangazo la serikali no 28 la mwaka 2008
- Afanya mkutano mkubwa Kijiji cha mwanavala kata YA Imalilo usongweWananchi waomba serikali ipitie upya uamuzi ulioingiza Vijiji vingi kwenye Hifadhi na kukosa Ardhi YA kilimo na ufugaji

-AHAIDI kupokea tathmini YA watalaam katika siku 14
- Atahusisha maoni YA wananchi vyote vinavyopakana na
hifadhi ili aiwasilishe kwa Rais kwa Ajili YA uamuzi
hifadhi ili aiwasilishe kwa Rais kwa Ajili YA uamuzi
- Awataka wananchi kuwa watulivu na watoe ushirikiano
- Asema ushauri na uamuzi utazingatia maslahi mapana YA wananchi na ekolojia





0 comments:
Post a Comment