Awapongeza wanawake kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumiAsema asilimia 69 ya wanawake wanashiriki katika sekta YA kilimo
- Akemea mfumo Dume wa kutoawapa fursa wanawake kumiliki Ardhi. Asema baadhi YA makabila na baadhi YA wanaume wanawadharau wanawake

- Asema kuna wanaume hawfanyi kazi za shamba wanawachia WANAWAKE na ikifika mavuno wanauliza mapato
- Aagiza wakurugenzi wa halmashauri kutenga maeneo YA viwanda vidogo vidogo na kutenga YA asilimia 10 YA Mapato YA ndani kwa ajili ya mikopo nafuu vikundi vya wanawake na vijana





0 comments:
Post a Comment