Atoa siku 14 kwa wakuu wa wilaya kufanya tathmini YA uharibu wa mazingira, uvamizi wa vyanzo vya Maji na hifadhi
- Awataka wananchi kupanda miti kwa wingi na kuitunza
- Awaonya wanaochoma miti Moto, kuharibu vyanzo vya Maji na kufanya shughuli za kijamii ktk vyanzo vya Maji
- Asema vyanzo vya Maji vikiharibiwa miradi YA Maji ikiwemo mabomba yatabaki magofu kwasababu Maji yatakasekana
- Awapongeza wananchi wa Mbeya kwa kufanya kazi kwa bidii hasa Msimu huu wa Kilimo

- Mkoa wa Mbeya unajitosheleza kwa chakula na Amewataka waongeze bidii ktk kilimo ili waongeze uzalishaji na ziada waiuze kwenye hifadhi YA Taifa YA Chakula au kwa mikoa yenye ukame ambayo haitozalisha Chakula cha kutosha











0 comments:
Post a Comment