Friday, February 10, 2017

Image may contain: 1 person, smiling
EXTRA STRAIGHT TALK:- Katibu wa Bunge la Jamhuri amesema
...."MAAZIMIO YA BUNGE KUTAKA MAKONDA NA MNYETI KUJA BUNGENI KUHOJIWA NA KAMATI YA BUNGE YA HADHI, MADARAKA, NA MAADILI YA BUNGE NA HATA KUMTAKA RAIS JOHN MAGUFULI ATENGUE UTEUZI WAKE RC HAUKUFUATA UTARATIBU WA KIBUNGE, KWA HIYO HAYATAFANYIWA KAZI"....now jana usiku nilisema naliomba Bunge la Mwenyekiti Chenge likae pembeni tumalize hii vita kwanza maana linakuwa ni kikwazo kwenye focus ya vita yetu ya Madawa ya kulevya ambayo sasa hivi inaenda vizuri sana na right on the track .
..jana tumeshuhudia Manji na Gwajima wakienda Central kwa mbwembwe lakini hatujaona wakitoka wala wakitoka kwa mbwembwe ina maana jana walilala Central kama wengine wote yaani wananchi watuhumiwa yaani Sheria ni msumeno...sawa hayampati mmoja na Central ni ya wote lakini hivi ni vita vya Madawa ya Kulevya aidha unaiunga mkono au huiungi mkono ila mimi binafsi kama mwananchi nimeamua kutumia haki yangu ya Kikatiba KUIUNGA MKONO 100% na wewe pia una haki yako Kikatiba kuamua kuunga mkono au kutounga au kukaa kimya ....ila kwa wale tunaomuunga mkono Makonda ni lazima tusimame tuseme wazi maana anashambuliwa sana na wasioitaka vita hii ambao aidha walikuwa wananufaika nayo au wanamchukia tu Makonda kwa sababu wanadai njia anayotumia Makonda sio sawa ila hawatuambii waliwahi kutumia njia gani na wapi kutokomeza biashara hii ya drugs as opposed na njia anayotumia Makonda ...naomba kusema wazi kuwa heshima yangu kwa Bunge la sasa imeshuka sana imagine Bunge la Jamhuri lilikaa kwa karibu Siku 2 kumbomoa Makonda bila kujua kwamba wapo nje ya Kanuni na Sheria za Bunge mpaka leo wanakuja kukumbushwa na Mtu mmoja tu Katibu wa Bunge kuwa walikosea Sheria sasa what that says kwa wabunge wote walioshirilki? ...I mean what a shame mimi ninajua Dunia nzima Bunge lingekuwa linapigana kumpa nguvu zaidi za Kisheria Makonda lakini Bongo ndio kwanza Baadhi ya Wabunge wetu wanamzushia udaku na ujinga ....eti mbunge amesimama anasema ni makosa Makonda kumuweka Rais kwenye spika akiwa na maana Rais hakujua ni ujjnga wa kitoto sana na ni foolishness ...somebody please funga hilo bunge now! - le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment