Monday, February 13, 2017


LIVE STRAIGHT TALK:- Morning Guys VITA YA MADAWA YA KULEVYA
kwenye uchaguzi uliopita nilimuunga mkono na kupigania kwa 100% CCM na Rais Magufuli sikuwahi kubabaisha wala kutetereka on that na pia hata baada ya Uchaguzi kuisha msimamo wangu umekuwa ule ule SOLID hata Mama na Dada yangu walipotumbuliwa na Rais Magufuli bado MSIMAMO WANGU UMEKUWA ULE ULE 120% FULL SUPPORT to Rais Magufuli na his policies ....ilipoanza Vita ya Madawa ya Kulevya msimamo wangu umekuwa ule ule kwa RC @paulmakonda pamoja na kwamba Msimamo wangu umeni cost sana sana cause sasa kuna baadhi ya marafiki hatuwezi kuongea tena maana wameshindwa kubeba misalaba ya matatizo yao wanataka kunilaumu mimi hahahahahaa seriously I don't give an inch of ice so be it TUTAKUJA KUELEWANA MBELE YA SAFARI .....RC alipoanza kushambuliwa kuwa hatumii Busara na kwamba anaua Brand za baadhi ya watuhumiwa nilisimama against my best Friend ever kwa mara ya kwanza in our life na Baadhi ya Bunge walipomshambulia RC pia nilisigana na Wabunge wengi marafiki zangu wa karibu na hata Bunge zima lilopounga mkono kumuita RC nilipingana nalo wazi wazi hapa hapa Instagram na all over Social Media ...leo Vita inaingia sura mpya ya Awamu ya Tatu bado msimamo wangu ni ule ule kwamba I support RC kwa 100% ninamuunga mkono na hivi vita kwa sababu kwanza ninafahamu msimamo wa RC wa kumtanguliza Mungu mbele na pia ninahuzunishwa sana na hii biashara ambayo imekuwa ikilitafuna Taifa letu kwa muda mrefu sana ...hakuna binadam mkamilifu na matatizo hayampati mmoja na Central Police anaweza kwenda anyone of us na anytime but haina maana tuishi kwa uoga wa kuogopa kusema misimamo yetu on ishus muhimu eti kwa sababu tutawaudhi wengine au tutaonekana tunafurahia matatizo yao HAPANA ...kuna suggestions huenda na mimi ninauza Unga hahahaha hili linanichekesha sana sana tena NINACHEKA KWA DHARAU SANA cause sina la kuogopa wala hata kuwa na wasi wasi HALINIHUSU NEVER hakuna muuza asiyekuwa na pesa kama mimi unless huo unga ninauuza bure hahahahaha ..kwa wale mnaomchukia RC na hata kupinga juhudi zake za vita hii poleni sana cause mmechagua the wrong side of the coin tunaomuunga mkono RC tumuombee kwa Mungu vita ipo mwishoni now! - le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment