Chama
cha mchezo wa tenis nchini TTA kimefanikiwa kupata uongozi mpya ikiwa ni sehemu
ya kutii agizo la Baraza la Michezo la Taifa nchini BMT.
Katika uchaguzi huo uliofanyika
katika ukumbi wa mikutano uliopo katika wanja wa Taifa jijini dar es Salaam, Denis
Makoi ndie aliyefanikiwa kutwaa nafasi ya Uraisi mara baada ya kupata kura 16.
Mara baada ya kutangazwa kuwa
mshindi katika nafasi ya rais wa TTA, Denis Makoi ameeleza vipaumbele vyake
katika kuhakikisha mchezo wa tennis unasonga mbele.
Makoi amesema atahakikisha
inapatikana michezo mbalimbali ili kuhakikisha anauinua mchezo huo hapa nchini.
 |
| Dennis Makoi- Rais TTA |
Nafasi ya makamo wa Rais imekwenda
kwa John Bura. Na wajumbe ni Rehema Mbegu, Riziki Salum, Mosses Mabula, na
Sanjay Choksi.
0 comments:
Post a Comment