Posted by Williammalecela.com on Wednesday, March 29, 2017
 |
Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi Ndg Humphrey Polepole
ametangaza majina 12 ya wajumbe waliopitishwa na Kamati Kuu ili kulipa
Bunge fursa ya kuchagua watakaoonekana kufaa, hii ni kutoka wagombea 450 walio omba nafasi hizo.
Wabunge waliopitishwa ni Wafuatao:
TANZANIA BARA
Wanawake
1. Zainab Rashid Mfaume Kawawa
2. Happiness Elias Lugiko
3. Fancy Haji Nkuhi
4. Hapiness Ngoti Mgalula
Wanaume
1. Dr. Ngwaru Jumanne Maghembe
2. Adam Omari Kimbisa
3. Anamringi Issay Macha
4. Charles Makongoro Nyerere
TANZANIA ZANZIBAR
Wanawake
1. Maryam Ussi Yahya
2. Rabia Abdalla Hamid
Wanaume
1. Abdalla Hasnu Makame
2. Mohamed Yussuf Nuh
|
0 comments:
Post a Comment