Monday, March 13, 2017

LIVE HARD TALK:- .....Leo Kazi ni Kazi juu ya Kazi kanyaga twende mbele Bampa to Bampa ...uliwahi kusikia wapi Duniani Watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya wanamdai Durtete Vyeti?
.....hahahahahaha yaani eti Watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya wanamdai Kiongozi wa Kupiga Vita Madawa ya Kulevya tena kati kati ya the game?.....hahaha....nyie tulieni huko kama mnanyolewa KUPIGA VITA MADAWA YA KULEVYA NI ILANI YA CCM 2015 - 2020 kesho mtakidai Chama Cha Mapinduzi Vyeti maana hamna adabu nyie eti ....hahahahaha. ...Madawa yamewazidia mpaka mnataka kumfundisha Rais Magufuli kazi yake ya kuhakiki vyeti vya wateule wake ...hahahaha....kaeni pembeni hii ni saa ya Mabadiliko kila mahali chini ya CCM mmesikia Dodoma kilivyonuka sasa mnataka waliofukuzwa Chama wadai Vyeti vya Rais? .....hahahaha ... yaani litakuwa Taifa la Kusadikika leo wahuni wachache wakidai vyeti basi Rais wa Mkoa aache kuwashugulikia Wananchi wake Millioni 8 kwa ajili tu ya Watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya na manyumbu yao nyuma ...hahahahaha.....tunawauliza hivyo Vyeti alivyofoji viko wapi? ...ohhhh Kolomije mara Zero Coke yaani manyumbu ni manyumbu tu yanataka kuanzisha Sheria mpya Duniani ya kumtuhumu mtu bila ushahidi ndio maana yanaitwa manyumbu zero brain akili za kuambiwa tu kuchanganya na zao yanapata majivu vichwani mwao ...hivi binadam unaweza kuwa mjinga kiasi gani kuamini kwamba leo Tanzania tuna Kiongozi kama RC anayeweza kumdanganya Rais Magufuli kwa kumpa Vyeti feki na akamuachia? ...yaani manyumbu yanakaririshwa na yule Rais wao wa ghetto anayepiga ramli Majuu yanaamini na kuanza kuimba imba single hata aliyeitunga hayamjui ....Kamanda Makonda @paulmakonda piga kazi tunataka Dar mpya isiyokuwa na Madawa ya Kulevya na inawezekana ...na nyie manyumbu mambo ya Vyeti hayawahusu yanamuhusu muajiri wake Rais wa Jamhuri nyie tulieni tunataka kurudisha nguvu kazi ya Vijana wetu wanaoharibika na Madawa yenu ya kulevya ....Kamanda Makonda piga kazi huku Social Media niachie mimi nawamudu hawa nyumbu Millioni Moja peke yangu LE AKILI KUBWAZZZZ..hahahahaha.....KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI ....leo tukutane Bandarini Kazi juu ya Kazi yaani bampa to bampa ...eti kuna nyumbu mwenye tatizo hukoooo? - le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment