Monday, March 13, 2017

Mshtakiwa Evarist Biyunze (23) akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi, baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Kijana huyu amefungwa jela kutokana na kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba.

0 comments:

Post a Comment