Posted by Williammalecela.com on Wednesday, April 05, 2017
 |
LIVE
STRAIGHT TALK:- The Art of BE CAREFUL OF WHAT YOU ASK GOD FOR YOU MAY
GET IT
kwa wale wote wenye AKILI KUBWAZZ like me jana Wabunge wetu
wamethibitisha hii theory na kwamba uwezo wao wa kufikiri hauko tofauti
sana na wananchi wengi waliowachagua ambao wamelilia mabadiliko kwa muda
mrefu wa maisha yao lakini leo baada ya mabadiliko kuja tena zaidi ya
walioyaomba sasa wameanza tena kulia lia kumbe walitegemea mabadliko
yafanyike bila kugusa maisha yao ..inanikumbusha mwana
wa Mungu Yesu alipowatoa mapepo na kuyaamuru kuwaingia Nguruwe
waliokuwepo karibu naye jinsi wafugaji wa wale Nguruwe walivyopiga
kelele kumtaka Yesu aondoke mara moja cause alianza kuwaharibia biashara
zao ..akiwa Rais JK hakuna chombo kilichokuwa kikimtukana na
kumdhalilisha kama Bunge letu huku Wabunge wetu wa Vyama vyote
wakimdhihaki kama ni "Mtawala Dhaifu" anayecheka cheka na asiyekuwa na
msimamo wala maamuzi magumu wakasahau kwamba Watawala huwekwa na Mungu
na kwa sababu zake Mungu so Mungu alimuweka JK kwanza ili tumlilie
Magufuli...walichokifanya jana Wabunge inaitwa "DIVIDE AND RULE" yaani
kutaka kumfanya Rais wa sasa ajisikie vibaya kwamba kuna kitu anakosea
kwenye kutawala kwake mbona akienda Bungeni hashangiliwi kama JK
...hahahaha very trick but at its bottom of the line ni simply nonsense
cause JK alikuwa Mwenyekiti wa CCM alikisikia kilio chao cha kutaka
mtawala mkali mwenye maamuzi magumu na msimamo usio tetereka so
akatuletea Waziri wake Dr. Magufuli ambaye alimjua kuwa ndiye hasa anaye
fit kilio cha Wabunge wetu kuwa ndiye Rais wanayemtaka ....so naomba
niwakumbushe Wabunge kuwa jana tumewasikia lakini hatudanganyiki cause
kwa makelele yenu jana mmetuhakikishia kwamba JK hakukosea kwenye uamuzi
mliomuomba sana wa kutaka Rais "DIKTETA" na huwezi kujifanya kumpenda
JK ukamchukia Magufuli uliyemuomba mwenyewe ni UNAFIKI AT BEST ...
tumewajua kumbe hamkuwa mnataka mabadiliko ila uhakika wa kuendelea na
maposho ya ajabu ajabu huku wengine wakibanwa na mabadiliko lakini sio
nyinyi waheshimiwa ...Magufuli asingekuwa Rais kama JK asingepitisha
jina lake Kamati Kuu CCM na kumpigia kampeni mpaka kuwa Rais so tulieni
na mbadilike ila MSITUCHANGANYE WANANCHI! - le Mutuz |
0 comments:
Post a Comment