Wednesday, May 31, 2017

Taarifa za awali zinadai Mbunge wa zamani wa Jimbo la Moshi mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Mzee Ndesamburo amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Aidha, taarifa zinabainisha marehemu amefia KCMC 'Emergency Room' alikokuwa amepelekwa kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo (heart attack).

0 comments:

Post a Comment