Posted by Williammalecela.com on Friday, May 26, 2017
 |
| "Utawaona Wanashangaa shangaa, Walifikiri nitakuwa pamoja nao....NEVER!
Ni mara kumi nisiwe Rais, niende hata kuchunga na kukaa kijijini kuliko
kuvumilia huu uozo unaofanyika...Nitawashughulikia kweli kweli, kama
kutumbua Mimi hata kila siku nitatumbua tu,watu lazima wabadilike,..That
is my direction and I will Never Change it" - Rais John Pombe Magufuli on Ripoti ya Mchanga wa Dhahabu juzi Ikulu. |
0 comments:
Post a Comment