Thursday, May 11, 2017

 Image result for nape nnauye images

Mbunge Wa Mtama, Nape Nnauye (CCM), Ameliambia Bunge Kuwa Katika Ilani Ya CCM Wakati Wa Uchaguzi Mkuu Waliwaahidi Wananchi Kuwa Watatatua Changamoto Za Maji Lakini Hadi Sasa Bado Hatua Stahiki Hazijachukuliwa Hivyo Endapo Tatizo Halitaangaliwa Na Kutatuliwa, CCM Ijue Wananchi Hawatairudisha Tena Madarakani Mwaka 2020.

0 comments:

Post a Comment