"YAANI NI KAZI JUU YA KAZI ....le mbebezz Super Mtindiz ..hapa Mjini maisha yamebana siku hizi hamna kuchagua kazi U know ....hahahaa .
..mambo ya kudanga hamna tena hapa mjini ....mambo yamekuwa sio mambo tena hapa mjini ....hahahaha....nyie Wabebez msichague kazi bana tusaidiane U know ..piga kazi Utaoga baadaye U know ....hahahaha ....Bampa to Bampa ..yaani KAZI JUU YA KAZI!" - le Mutuz Nation


0 comments:
Post a Comment