Posted by Williammalecela.com on Friday, June 23, 2017
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akizungumza na wananchi wa Mombo mkoani Tanga jana wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Kilimanjaro. IGP amewataka wananchi wa mombo kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kudumisha amani na utulivu nchini. Picha na hassan mndeme-jeshi la polisi
0 comments:
Post a Comment