Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amempongeza Naibu Spika Dr Tulia kwa kujitoa kwake katika kuchangia shughuli za maendeleo katika Mkoa wa Mbeya
- Ameyasema hayo ktk Shule YA sekondari Loleza wakati wa hafla YA kukabidhi Mabweni na vyoo kwa Waziri wa elimu prof Ndalichako

- Amempongeza Dr Tukia kwa kusaidia ukarabati wa mabweni, ushiriki wa shughuli mbalimbali za maendeleo,kuinua michezo na utamaduni kwa kuandaa mabonanza mbalimbali

Aidha Amempongeza mdau mwingine wa maendeleo ndg Ndele Mwaiselela kwa kujenga darasa moja na computer 9 kwa ajili ya shule YA msingi Iyela



0 comments:
Post a Comment