Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Job Ndugai akisalimiana na Kaimu Rais wa Nigeria, Mh. Prof. Yemi Osinbajo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 18 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Mjini Abuja nchini Nigeria.
Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Job Ndugai akisalimiana na Spika wa Bunge la Nigeria, Mhe Alhaji Yakubu Dogara wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 18 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Abuja nchini humo.


0 comments:
Post a Comment