Posted by Williammalecela.com on Wednesday, July 26, 2017
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza nafasi 3,152 za kazi katika sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuziba nafasi za watumishi mbalimbali waliondolewa kwenye nafasi zao kutokana na vyeti feki na uboreshaji wa huduma.
0 comments:
Post a Comment