Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 09, 2017
 |
LIVE
STRAIGHT TALK:- Je tuendelee kuwaamini Wapinzani Tanzania? Hizi ni
kauli mbali mbali zilizowahi kutolewa na Chadema huko nyuma
na
mabadiliko ya kauli hizo hizo na hao hao Chadema sasa....kwa mfano:1.
FACT ...walisema "Tanzania ni lazima tupate Rais anayeweza kuiga Rwanda,
ambayo ni nchi ndogo rasilimali kiduchu lakini wametuzidi maendeleo kwa
mbali sana" .....Leo wanasema..."NI AIBU KWA RAIS MAGUFULI KUIGA RWANDA
NCHI AMBAYO IMEPIGANA VITA KWA MUDA MREFU SANA".....FACT ..walisema
"Rais JK ameharibu kabisa mahusiano mazuri ya Tanzania na Rwanda na
amejenga uadui usiokuwa na tija kwa Taifa letu"....Leo wanasema
...."URAFIKI WA RAIS MAGUFULI NA KAGAME NI HATARI SANA KWA DEMOKRASIA YA
TANZANIA" ....FACT walisema "Vascodagama ndilo jina la Rais JK maana
anasafiri sana ni kama Fastjet" ...Leo wanasema "KUNA HAJA YA RAIS
MAGUFULI KUSAFIRI SAFIRI NJE ILI TAIFA LETU LIPATE FORUMS ZA
KUBADILISHANA MAWAZO NA WAKUU WENZAKE JINSI YA KUENDESHA TAIFA" ....FACT
walisema .."Tanzania tunahitaji Rais Dikteta bila hivyo hili Taifa
haliwezi kusonga mbele" ...Leo wanasema "TUNANYIMWA UHURU WA KUJIELEZA
HATUNA DEMOKRASIA TENA HUYU RAIS MAGUFULI HAFAI NI DIKTETA" ....Walisema
"Rais Kikwete ni dhaifu sana" ....Leo wanasema "NI BORA ENZI ZA UTAWALA
WA KIKWETE MAISHA YALIKUWA NAFUU SANA, KULIKO SASA" ...hahahahaha now
can we take Wapinzani seriously with all these FACTS za maneno yao
wenyewe? ..FACT .kuna wakati walisema "CUF ni mashoga" ....baadaye
wakaungana nao kuanzisha UKAWA ...walisema "Lowasa ni Fisadi" baadaye
wakasema ushahidi upo wapi mbona CCM hawajamfikisha mahakamani ....I
mean binadam hasa Mwanaume anatakiwa kuheshimika kwa sababu ya kuwa na
msimamo kwenye hili la Msimamo Chadema mmetuangusha sana hili Taifa
cause the Million Dollar Question here ni Can we still trust Chadema?
for what?...MUNGU AIBARIKI TANZANIA! - le Mutuz Nation |
0 comments:
Post a Comment