Friday, August 18, 2017

IMG_20170817_125229.jpg

Mwili wa mtu asiyejulikana umekutwa kwenye fukwe za Kawe ukiwa umefungwa kwenye kiroba Asubuhi Hii na Hadi sasa haujatambulika kuwa ni mwanaume au mwanamke.


Mashuhuda wanasema kuwa wavuvi wameusogeza ufukweni hapo, na kuucha, Jeshi la Polisi lina Taarifa na Wapo Njiani Kuelekea Eneo la Tukio.


Chanzo: Times Fm

0 comments:

Post a Comment