Friday, August 18, 2017

Image may contain: 2 people, people standing and suit
"Leo nimetimiza mwaka mmoja toka niteuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mhe Rais Dr John Joseph Pombe Magufuli.
Kipindi hiki Cha mwaka mmoja nimetembelea Wilaya na Tarafa zote. Nimetembelea Vijiji na kata kadhaa kuongea kusikiliza na kutatua kero za wananchi wenzangu. Kuanzia mwezi Sept 2017 naanza kusukuma masuala ya kimkakati Mkoani Arusha! Mimi na wenzangu tutatoa kipaumbele mahsusi kwenye Elimu, Utalii, Viwanda , Uchumi na nk.
Namshukuru Mungu, Mhe Rais Magufuli, wazazi wangu, Mke wangu (watoto wetu)na wananchi wenzangu wa Arusha na wanzania kwa ujumla!
Karibuni kwa ushauri pia wakati tunaenda kuanza mwaka mwingine!"
Image may contain: 2 people, people smiling, people sitting and indoor
Image may contain: 3 people, suit and indoor

0 comments:

Post a Comment