Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 09, 2017
 |
MBEYA YAZINDUA MKAKATI WA KUBORESHA ELIMU -Mkuu wa mkoa amezindua
mkakati wa kuboresha elimu ktk Mkoa wa mbeya sambamba na kuongeza ufaulu
ktk Shule za msingi na sekondari - Mkakati huo umehusisha maafisa elimu wa wilaya, wakuu wa Shule, wenyeviti wa bodi na waratibu elimu kata
- Ameelekeza kila Mtendaji ktk sekta YA elimu awe na mpango kazi na kutekekeza na walimu wazingatie ratiba YA ufundishaji - Amezitaka bodi za shule kuwa kiungo na wananchi, kuthibiti nidhamu mashuleni
- Waratibu Elimu na watendaji ngazi zote wahamasishe jamii kuboresha
miundombinu YA shule ikiwemo madarasa, hostel, vyoo na nyumba za walimu
na wazazi waone umuhimu wa wanafunzi kupata chakula shule -
wakurugenzi na maafisa elimu washughulikie madai YA walimu na kuweka
vivutio kwa walimu ikiwemo motisha kwa watakaofaulisha vizuri. |
0 comments:
Post a Comment