Posted by Williammalecela.com on Saturday, September 09, 2017
Muda huu kutokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Waziri wa fedha na mipango’ Dkt. Philip Mpango anapokea taarifa ya madini ya Almasi yaliyokamatwa yakisafirishwa kwenda nje ya nchi na kuzuiwa,
0 comments:
Post a Comment