Monday, September 4, 2017



Image may contain: shoes

DODOMA: Ofisi ya Bunge imetangaza kuanza
kwa Mkutano wake wa 8 siku ya kesho utakaoketi kwa muda wa wiki 2 kujadili masuala kadhaa ikiwemo miswada 3 ya Serikali.
Aidha, wabunge 7 wateule wa Chama cha Wananchi (CUF) watakula kiapo cha uaminifu na kutakuwa na kipindi cha maswali na majibu.

0 comments:

Post a Comment