Posted by Williammalecela.com on Wednesday, September 06, 2017
 |
| Mwenyekiti
wa Chama cha CHAUMA ambaye pia ni mwanasheria kitaaluma na wakili wa
mahakama kuu, Ndugu Hashim Rungwe anashikiliwa na Jeshi la Polisi Dar Es
Salaam, kwa tuhuma za kugushi nyaraka. |
0 comments:
Post a Comment