Posted by Williammalecela.com on Monday, September 04, 2017
Kampuni ya Acacia imetangaza lengo lake la
kupunguza shughuli za uendeshaji/uzalishaji katika mgodi wa Bulyanhulu.
- Uamuzi huu umetokana na upungufu wa mzunguko wa pesa uliosababishwa
na zuio la usafirishaji wa makinikia kwenda nje ya nchi na mazingira ya
uendeshaji kuwa magumu.
0 comments:
Post a Comment