Posted by Williammalecela.com on Monday, September 04, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Steven Kebwe aagiza wachina watatu
kukamatwa na kurudishwa kwao mara moja kutokana na kuishi nchini bila
kibali na kuchimba madini kinyume na taratibu za kisheria.
-
Aidha, RC Kebwe ameagiza viongozi wa vijiji na kata ya Maseyu kukamatwa
kwa tuhuma za kushirikiana na watu hao na kuwarudisha kinyemela kila
anapoondolewa na serikali.
0 comments:
Post a Comment