Monday, September 4, 2017

Image may contain: 1 person, outdoor

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Steven Kebwe aagiza wachina watatu kukamatwa na kurudishwa kwao mara moja kutokana na kuishi nchini bila kibali na kuchimba madini kinyume na taratibu za kisheria.


- Aidha, RC Kebwe ameagiza viongozi wa vijiji na kata ya Maseyu kukamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na watu hao na kuwarudisha kinyemela kila anapoondolewa na serikali.

0 comments:

Post a Comment