Posted by Williammalecela.com on Monday, September 04, 2017
 |
*LEO NDIYO LEO,ASUBUHI HII MAMBO YANAANZA SINZA* *HAKUNA KAMA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO*
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo,itazindua Huduma ya *Matibabu ya bure
kwa wazee wapatao 7,299,Watapatiwa vitambulisho vyao katika awamu ya
kwanza,* siku ya jumatatu terehe 04 sept 2017,viwanja vya TIP SINZA saa tatu asubuhi. *Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Afya,maendeleo ya jamii, jinsia na watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu*
Njooni tuweke historia kwapamoja na rekodi hii nzuri katika
Tanzania,ukiachilia sera za Afya na Ilani za vyama,UBUNGO itakuwa
Halamshauri ya Kwanza kutoa huduma hii kwa vitendo. *Wazee watapimwa bureeee* *Watatibiwa bureeeee* |
0 comments:
Post a Comment