Monday, September 4, 2017

22 hrs ·
Nimepata mwaliko wa kuhutubia mkutano wa mawakili bingwa wa sheria duniani .
Mkutano Utafanyika jijini Washington DC huko USA 15/9/2017
mwakilishi pekee kutoka Afrika atakae hutubia mkutano huo mkubwa wa kihistoria .
Aluta Continua!!!

0 comments:

Post a Comment