Posted by Williammalecela.com on Tuesday, September 05, 2017
 |
"Just met my Brother Paul Makonda.Rc Dar . Nikiwa Njiani kuelekea China.
This Young man is talented and siku nimepata ukweli juu yake kuhusu
kusingiziwa kwa magari na mdudu mengi moyo wangu uliumia na nikamwomba
Mungu anipe kuusafisha moyo wangu na kunisamehe maana hakika
niliaminishwa uongo. God Protect you dear brother.Hakika Mungu wetu sio mwongo. Bwana wa utukufu akutunze Rc Makonda"
|
0 comments:
Post a Comment