Wednesday, September 6, 2017


MOMBASA, KENYA: Wanaume wawili wanaotuhumiwa kuiba gari wamekutwa wakicheza muziki wakiwa uchi huku wakilizunguka gari hilo.

- Aidha katika hali ya kushangaza mara baada ya mmiliki wa gari hilo kufika eneo la tukio watu hao waliondoka. Tukio hilo limehusishwa na imani za kishirikina.





0 comments:

Post a Comment