Monday, December 22, 2014

Pamoja na propaganda nyingi za UKAWA kumchafua Mbunge huyu wa CCM Ngeleja kwenye kampeni za uchaguzi wa Mitaa, Mbunge huyo na CCM walifanikiwa kuwashinda UKAWA kwa kuwapiga kwa CCM 82%, UKAWA 18% aibu kubwa sana kwa UKAWA.

0 comments:

Post a Comment