Posted by Williammalecela.com on Saturday, October 03, 2015

 |
@LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK!!:- Kwa
sababu Uongozi wa Chadema hawawaamini Makapi waliotokea CCM, wamekataa
kata kata kuwaruhusu Makapi kutumia Ofisi yao Makao Makuu Kinondoni
badala yake wamefungua Ofisi ya Muda ya UKAWA pale Mediterano Kawe, pale
wamempa Lowassa Ofisi, Mbowe Ofisi na Mbatia ni kwa sababu wanajua
kwamba ndoa yao ni ya temporary tu kwa ya kutafuta URais, Viongozi wa
Chadema wanajua kwamba Urais sio lengo la Chadema isipokuwa kuongeza
Wabunge kwa ajili ya Ruzuku kubwa kutoka Serikalini ndio nia
na madhumuni yao, lakini kwa vile Wasaka Urais wamekuja na mapesa yao
na kutaka kuwaaminisha kwamba wanaweza kuupata Urais, Chadema
wamewakubali na kuwapa nafasi wagombanie Urais lakini wasikiguse Chama
chao Uchaguzi ukiisha Chadema warudi Kindondoni na Lowassa na wezake
waende zao!! - Lowassa hawajui Chadema na Chadema hawamjui Lowassa,
baada ya Uchaguzi tu Lowassa atataka kuwa Mwenyekiti wa Chadema kitu
ambacho Mbowe na Mtei will never let him. Utakuwa ndio mwanzo na mwisho
wa Ndoa ya Kuusaka Urais, wamemfukuza Dr. Slaa je itakuwa Lowassa?
Subiri uone sarakasi litakalozuka baada ya UKAWA kushindwa Urais tarehe
25/October itakuwa ni Cinema ya the Century!! - le Mutuz Nation |
0 comments:
Post a Comment